Caitlyn Jenner Aelezea Kutoongea na Kim Kardashian Kunavyomuumiza.

In Burudani, Kimataifa, Mahusiano

 

Baada ya kuachia kitabu  cha ‘The Secrets of My Life’ imebainika kuwa Kim Karadshian na Caitlyn Jenner hawaongei kwa muda sasa.

Akiongea katika kipindi cha ‘Good Morning Britain’ mwanamama huyo ambaye ni baba  wa Kendall na Kylie Jenner, ameeleza kuwa tangu alipotoa kitabu  cha ‘The Secrets of My Life’ mahusiano yake na Kim Karadashian yamekufa kwa taribani miezi 6 hadi 9.

“We haven’t talked in nine months. I love Kim so much. It’s such a huge loss in my life not having her there anymore. It’s really sad. I love all my children. I spent 25 years raising these kids,” amesema Caitlyn Jenner.

Ameongeza  “With that family, you’ll notice on the show ‘Keeping up with the Kardashians’ that I always kept my opinions to myself, I was living in a house with very opinionated women and I was always left in the background and kept my mouth shut.”

Hata hivyo amemshukuru Kim kwa kukubaliana na hali yake ya sasa baada ya kujibadilisha jinsia kutoka mwanaume na kuwa mwanamke.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu