Caitlyn Jenner Aelezea Kutoongea na Kim Kardashian Kunavyomuumiza.

In Burudani, Kimataifa, Mahusiano

 

Baada ya kuachia kitabu  cha ‘The Secrets of My Life’ imebainika kuwa Kim Karadshian na Caitlyn Jenner hawaongei kwa muda sasa.

Akiongea katika kipindi cha ‘Good Morning Britain’ mwanamama huyo ambaye ni baba  wa Kendall na Kylie Jenner, ameeleza kuwa tangu alipotoa kitabu  cha ‘The Secrets of My Life’ mahusiano yake na Kim Karadashian yamekufa kwa taribani miezi 6 hadi 9.

“We haven’t talked in nine months. I love Kim so much. It’s such a huge loss in my life not having her there anymore. It’s really sad. I love all my children. I spent 25 years raising these kids,” amesema Caitlyn Jenner.

Ameongeza  “With that family, you’ll notice on the show ‘Keeping up with the Kardashians’ that I always kept my opinions to myself, I was living in a house with very opinionated women and I was always left in the background and kept my mouth shut.”

Hata hivyo amemshukuru Kim kwa kukubaliana na hali yake ya sasa baada ya kujibadilisha jinsia kutoka mwanaume na kuwa mwanamke.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu