‘Thriller’ ya Michael Jackson kurudi kwa mfumo wa kisasa…

In Burudani, Kimataifa

 

Mnamo Novemba 30, mwaka 1982 dunia ilishuhudia albamu ‘Thriller’ kutoka kwa msanii nguli wa muziki wa Pop dunini Michael Jackson.

Nitakribani miaka 35 tangu msanii huyo aachia albamu hiyo yenye ngoma saba,  na sasa itaweza kupatikana katika toleo jipya la 3D, litakalotoa nafasi kwa mashabiki wa msanii huyo kufaidi upya muziki wa legendary huyo imebainishwa na muongozaji John Landis.

Albamu hiyo itakuwa katika mfumo wa kisasa wa teknologia  na itafanyiwa vionjo mbalimbali vya sauti ili kuleta radha stahiki ya muziki wa pop.

“Michael and I always intended it to be seen in a cinema. When you watch in on YouTube, you don’t see how it is supposed to be. Now you can see the way Michael intended it to be,” amesema Landis.

Akaongeza “My only disappointment is that he is not here to see it because he’d love it!.” Original albamu ya ‘Thriller’ ilitengenezwa chini ya Epic Records pamoja na CBS Records, Michael Jackson alifariki mwaka 2009 akiwa na miaka 50.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu