CCM KUWEKA HADHARANI ILANI YAO YA 2025 – 2030

In Kitaifa, Siasa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitaiweka hadharani Ilani yake mpya ya 2025-2030 ambayo itanadiwa wakati wa Uchaguzi Mkuu 2025.

Rais Samia amesema kuwa ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mwaka huu imeandaliwa kwa ushirikiano mpana unaojumuisha wananchi, asasi za kiraia, na wadau mbalimbali wa maendeleo, hatua iliyolenga kuhakikisha ilani inaakisi mahitaji halisi ya wananchi na dira ya maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Rais Samia amesema kuwa Ilani hiyo itazinduliwa Ijumaa, Mei 30,2025.
Ameyasema hayo wakati akifungua Mkutano Mkuu wa CCM unaofanyika kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma,.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu