Ccm yamtuhumu DC kutumia nguvu isiyohitajika.

In Uncategorized


Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Tabora, kimemtuhumu
mkuu wake wa wilaya Komanya Kitwala, kwa kutumia nguvu
isiyohitajika kuwafanya wafanyabiashara ndogo kulipia
vitambulisho vya mjasiriamali.


Imeelezwa kuwa mkuu huyo wa Wilaya amekuwa akitumia
Askari polisi wenye silaha na hivyo kuhatarisha ushindi wa
chama hicho katika uchaguzi mkuu mwaka huu.


Akizungumza kwa niaba ya kamati ya Siasa ya wilaya,katibu wa
CCM wilaya ya Tabora Nicolaus Malema,amesema mbaya zaidi
wahusika tayari wamelipa, lakini wanalipishwa wasaidizi wao
kama waosha sahani jambo lililowafanya kwenda kulalamika
kwenye chama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu