Crystal Palace Wamuweka Pabaya Wenger

In Michezo

Crystal palace waliendeleza nia yao ya kutaka kusalia katika ligi kuu nchini uingereza huku wakiangamiza nia ya  Arsenali ya kutaka kumaliza ligi hiyo katika nafasi nne bora kwa kuwatitiga, kuwavyoga na kuwanyeshea mvua ya magoli 3-0 jana usiku.

Palace walichukua uongozi mnamo dakika ya 17 kupitia mchezaji Andros Townsend kisha Yohan Cabaye akaongeza la pili mnamo dakika ya 63 naye luka Milivojevic akamaliza kazi mnamo dakika ya 68 kwa kupitia mkwaju wa penalty. Palace sasa wamechupa hadi nafasi ya 16 na pointi 34 kwenye jedwali la EPL huku watoto wa wenger wakikita kambi katika mtaa wa sita sasa na pointi 54 tatu nyuma ya nambari tano Manchester united.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu