Crystal Palace Wamuweka Pabaya Wenger

In Michezo

Crystal palace waliendeleza nia yao ya kutaka kusalia katika ligi kuu nchini uingereza huku wakiangamiza nia ya  Arsenali ya kutaka kumaliza ligi hiyo katika nafasi nne bora kwa kuwatitiga, kuwavyoga na kuwanyeshea mvua ya magoli 3-0 jana usiku.

Palace walichukua uongozi mnamo dakika ya 17 kupitia mchezaji Andros Townsend kisha Yohan Cabaye akaongeza la pili mnamo dakika ya 63 naye luka Milivojevic akamaliza kazi mnamo dakika ya 68 kwa kupitia mkwaju wa penalty. Palace sasa wamechupa hadi nafasi ya 16 na pointi 34 kwenye jedwali la EPL huku watoto wa wenger wakikita kambi katika mtaa wa sita sasa na pointi 54 tatu nyuma ya nambari tano Manchester united.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu