CUF wazungumza barua ya msajili wa vyama vya siasa.

In Kitaifa, Siasa

Chama cha wananchi CUF leo kimezungumza na wanahabari,na
kuelezea barua ambayo waliyotumiwa na msajili wa vyama vya
siasa nchini,ikiwataka kutoa maeleza na sababu za kuwafukuza
wanachama wake 10 kutoka Zanzinbar na bara hivi karibuni.
Msajili wa vyama amewataka CUF kutoa maelezo hayo kufuatia
malalamiko ya wanachama hao waliyoyawasilisha kwa msajili
wakipinga Chama hicho kuwafukuza bila kufuata utaratibu.


Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu