‘Heartbreak on Full Moon’ yaweka rekodi.

In Burudani, Kimataifa

Albam mpya ya Chris Brown ‘Heartbreak on a Full Moon’ imeweka rekodi ya kupewa kiwango cha mauzo cha ‘gold’ na kampuni ya Industry Association of America (RIAA).

Albam hiyo ambayo ndani yake wanasikika Future, R. Kelly na Jhené Aiko imeuza zaidi ya nakala 500,000 hadi kufikia Novemba 8 mwaka huu, kwa mujibu wa RIAA.

Heartbreak on a Full Moon’ pia imeshika nafasi ya tatu kwenye Billboard 200 ndani ya wiki tatu tangu iachiwe rasmi.

Nyimbo tatu kutoka kwenye albam hiyo hadi sasa ziko kwenye chati ya Billboard Hot 100, ikiwa ni pamoja na ‘Pills and Automobiles’ aliyowashirikisha Kodak Black, Yo Gotti na A Boogie Wit Da Hoodie’ imeshika nafasi ya 51.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu