‘Heartbreak on Full Moon’ yaweka rekodi.

In Burudani, Kimataifa

Albam mpya ya Chris Brown ‘Heartbreak on a Full Moon’ imeweka rekodi ya kupewa kiwango cha mauzo cha ‘gold’ na kampuni ya Industry Association of America (RIAA).

Albam hiyo ambayo ndani yake wanasikika Future, R. Kelly na Jhené Aiko imeuza zaidi ya nakala 500,000 hadi kufikia Novemba 8 mwaka huu, kwa mujibu wa RIAA.

Heartbreak on a Full Moon’ pia imeshika nafasi ya tatu kwenye Billboard 200 ndani ya wiki tatu tangu iachiwe rasmi.

Nyimbo tatu kutoka kwenye albam hiyo hadi sasa ziko kwenye chati ya Billboard Hot 100, ikiwa ni pamoja na ‘Pills and Automobiles’ aliyowashirikisha Kodak Black, Yo Gotti na A Boogie Wit Da Hoodie’ imeshika nafasi ya 51.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu