Jaji Mutungi atoa neno kwa wanasiasa juu ya katiba.

In Kitaifa

Ikumbukwe hivi karibu Rais Dk Samia Suluhu Hassan
alimuagiza Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis
Mutungi,kuitisha kikao maalum cha Baraza la vyama hivyo
pamoja na kuanza mchakato wa Katiba Mpya.


Rais Samia alitoa maagizo hayo Tarehe 6 Mei 2023 Ikulu,
Chamwino Dodoma,ambapo alimemtaka Jaji Mutungi kuitisha
kikao hicho kwa lengo la kufanya tathmini ya utekelezaji
mapendekezo ya Kikosi Kazi kilichokuwa,kikiratibu maoni ya
watu kuhusu demokrasia ya Vyama vingi vya siasa nchini
Msajili wa Vyama Vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi
amewataka wanasiasa kutobweteka,wakidhani Rais Samia
Suluhu Hassan kawapa rungu la kusimamia mchakato wa
marekebisho ya Katiba.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu