Jeshi la Mali lauwa wapiganaji 30

In Kimataifa

Vikosi vya mali vimewauwa kiasi ya wanamgambo 30 katika operesheni yake iliyoendeshwa jana, hayo yakiwa ni machafuko ya hivi karibuni kabisa katika taifa hilo lililovurugwa na vita. Katika ukurasa wake wa Twitter jeshi la nchi hiyo limesema limefanya mauwaji hayo katika eneo na Burkina Faso. Na kuongeza kwamba limefanikiwa kuzikamata pikipiki 25 na vifaa vingine, pasipo kutoa taarifa zaidi. Mali imekuwa katika makabiliano na wimbi la wapiganaji wenye itikadi kali za Kiislamu lililozuka 2012, ambalo limegharimu maelfu ya maisha ya wanajeshi na raia tangu wakati huo. Pamoja na uwepo wa maelfu ya wanajeshi wa Ufaransa na vikosi vya Umoja wa Mataifa machafuko yameendelea na yameenea katika mataifa jirani ya Burkina Fasi na Niger.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu