KANYE WEST, FUTURE NA KENDRICK LAMAR KUPAMBA TAMASHA LA ROLLING LOUD 2022

In Burudani, Kimataifa

Wakali wa rap Kanye West, Future na Kendrick Lamar Wataongoza kwenye tamasha la Rolling Loud ndani ya ukumbi wa Hard Rock, Miami Gardens julai mwaka huu.

Tamasha hilo la muziki linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki litafanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 22 hadi 24 Julai, pia litashambuliwa na wakali wengine kama Kodak Black, Lil Baby, Playboi, Lil Uzi Vert, Gunna, Gucci Mane, 2 Chainz, Lil Durk na wengine wengi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu