Karrueche Tran Amuongezea Uchizi Chris Brown…Maskini Cris!!!

In Burudani

Kama unakumbukumbu juzi kati nilikupa tarifa ya Aliyekuwa Mchumba wa CB Karrueche kufikisha shauri lake Mahakamani kwamba CB anamsumbua na Kumpa Vitisho.

Kwenye shauri lake Karrueche alisema kwamba CB bado anaingilia maisha yake na kumtishia kwamba endapo atamkuta na mwanaume atamfua yeye na huyo mwanaume na Shauri hilo lilitolewa Kauli na Hakimu la kumtaka Chriss Brown kukaa mbali na Karrueche.

Baada ya siku 2 nilikupa taarifa tena kwamba Marafiki wa karibu na CB wamesema kwamba CB anapitia wakati mgumu sana wa kutumia madawa ya kulevya kupita kiasi kwa sababu ya maumivu ya mapenzi aliyonayo na sasa hivi kuna time anafanya vitu vya ajabu mpaka wao wanamuonea huruma huku wakiongeza zaidi kwamba sbb ni kwamba CB bado anampenda Karrueche na anatamani kurudiana naye ila mwanadada huyo amekuwa akimchana CB kwamba hamtaki tena.

Sasa wakati hayo yakiendelea kuitafuna akili ya CB taarifa mpya ni kwamba hatimaye Karrueche amefumaniwa na Penzi lake la Siri.

Karrueche amedakwa na Camera za TMZ akiwa out na Mpenzi wake Mpya ambaye ni Quavo kutoka kundi la Migos.

Kwa mujibu wa chanzo kimoja kilichozungumza na TMZ, wawili hao wamekuwa wakionekana sehemu tofauti tofauti pamoja kwa miezi michache sasa.

Kinachoongeza Asilimia za kuamini hilo ni kwamba Karrueche alionekana Biloxi wikiendi iliyopita katika tamasha la Migos.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu