Korea Kaskazini yawekewa vikwazo vipya.

In Kimataifa

Baraza la usalama la umoja wa mataifa, limepiga kura kwa kauli moja kuiwekea vikwazo Korea Kaskazini, kama adhabu ya kufanyia majaribio zana zake za nyuklia.

Vikwazo hivyo vinalenga kuhujumu uwezo wa Pyongyang, kufadhili na kutoa tawi kwa mpango wake wa nyuklya.

Vikwazo hivyo pia vinatoa masharti kwa biashara ya kununua mafuta ya Korea Kaskazini, mbali na kupiga marufuku uuzaji wa nguo katika mataifa ya kigeni.

Taarifa ya chombo cha habari cha Korea Kaskazini KNCA imeonya kwamba, iwapo Marekani itasisitiza vikwazo vikali dhidi ya taifa hilo, Korea Kasakzini itahakikisha kuwa Marekani inagharamikia hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu