Korea Kaskazini yawekewa vikwazo vipya.

In Kimataifa

Baraza la usalama la umoja wa mataifa, limepiga kura kwa kauli moja kuiwekea vikwazo Korea Kaskazini, kama adhabu ya kufanyia majaribio zana zake za nyuklia.

Vikwazo hivyo vinalenga kuhujumu uwezo wa Pyongyang, kufadhili na kutoa tawi kwa mpango wake wa nyuklya.

Vikwazo hivyo pia vinatoa masharti kwa biashara ya kununua mafuta ya Korea Kaskazini, mbali na kupiga marufuku uuzaji wa nguo katika mataifa ya kigeni.

Taarifa ya chombo cha habari cha Korea Kaskazini KNCA imeonya kwamba, iwapo Marekani itasisitiza vikwazo vikali dhidi ya taifa hilo, Korea Kasakzini itahakikisha kuwa Marekani inagharamikia hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu