Korea Kaskazini yawekewa vikwazo vipya.

In Kimataifa

Baraza la usalama la umoja wa mataifa, limepiga kura kwa kauli moja kuiwekea vikwazo Korea Kaskazini, kama adhabu ya kufanyia majaribio zana zake za nyuklia.

Vikwazo hivyo vinalenga kuhujumu uwezo wa Pyongyang, kufadhili na kutoa tawi kwa mpango wake wa nyuklya.

Vikwazo hivyo pia vinatoa masharti kwa biashara ya kununua mafuta ya Korea Kaskazini, mbali na kupiga marufuku uuzaji wa nguo katika mataifa ya kigeni.

Taarifa ya chombo cha habari cha Korea Kaskazini KNCA imeonya kwamba, iwapo Marekani itasisitiza vikwazo vikali dhidi ya taifa hilo, Korea Kasakzini itahakikisha kuwa Marekani inagharamikia hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu