Kylie Jenner na Tyga Wamwagana tena!! Hii ndiyo Sababu

In Burudani

Wanasema Ukiachana na Mpenzi wako halafu ukarudiana naye, Mkaachana tena halafu Mkarudiana kwa mara ya Pili, Basi Mjue huo utakuwa Utamaduni wenu.

Mfano mzuri umekuwa kwa Wapenzi Wawili, Rapper Tyga naMwanadada kutoka Familia ya Kardashian, Kylie Jenner.

Kylie  Jenner &  Tyga

Taarifa mpya Mjini ni kwamba Tyga na Mpenzi wake Kylie Wameachana kwa mra nyingine tena ikiwa ni mara ya tatu.

Mtandao wa People umeeleza kwa kunukuu taarifa zilizotoka kwenye Chanzo cha Karibu na Couple hiyo ambacho Kimelithibitisha hilo lakini chanzo chenyewe kikasema kwamba imekuwa ni kawaida yao kupeana Likizo ya Mapenzi na Kurudiana na hivyo huenda Watayamaliza na kurudiana tena.

“They tend to take little breaks all the time and then get back together. It’s definitely possible they’ll work things out again,” —kilisema chanzo hicho.

Tyga na Kylie wao wamekuwa watu wa Mapenzi ya ON & OFF, Sababu kubwa ikiwa ile inayosemekana kwamba Familia ya Kardashian inakuwa na Maamuzi ya Mahusiano ya Watoto Wao sometimes kitu ambacho kinafanya Muda mwingine Mtoto wa Kike kukosa nguvu ya Kulitetea penzi lake kwa Mwanaume ampendaye.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu