Picha: Joh Makini na Davido Wakamilisha Video ya Collabo yao

In Burudani

Habari nzuri ni kwamba Mwamba wa Kaskazini Joh Makini na Staa wa Nigeria Davido wamemaliza Ku-shut Video ya Wimbo wao wa Pamoja.

Joh Makini na Davido wakiwa On Set na Warembo

Wakati Joh Makini akiendelea na Utaratibu wake wa Kutoongea Kitu kabla hakijawa Tayari, Davido yeye ameshindwa kuvumilia na Kutuvujishia Habari hii kupitia Account yake ya Instagram yenye Wafuasi Milioni 3 na Laki 8.

Davido amepost Picha hii hapa Chini na Kutupa taarifa kamili kwenye Caption kwamba Video hiyo imefanyiwa huko Jijini Johannesburg Nchini Afrika ya Kusini.

HII HAPA NDIYO PICHA ALIYOPOST DAVIDO NA JOH MKINI AKAI-REPOST

 

Back to work !! On set ? shoot @johmakinitz ft Davido ….. TZ ?? x NAIJA ?? !!

A post shared by Davido Adeleke (@davidoofficial) on

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu