Mtoto Mchanga atupwa Mtaroni Dodoma.

In Kitaifa

Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma limethibitisha kutokea kwa
tukio la mtoto mchanga kutupwa katika mtaro kwenye mtaa wa
Taufiq kata ya Viwandani anayekadiriwa kuwa na siku moja.


Akithibitisha taarifa hizo leo Kamanda wa polisi Martin Otieno
amesema mtoto huyu amekwisha kufariki na mama aliyefanya
tukio hilo amekatwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu