Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Vitimaalumu (CHADEMA) utawasili Arusha kesho.

In Kitaifa

Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) Dkt.Elly Marko Macha umewasili Nchini,na utawasili Arusha kesho Aprili 21 saa nane mchana.

Mwili wa Dkt.Macha utapokelewa katika uwanja wa ndege wa kimataifa Kilimanjaro International Airport (KIA),Mwili utapelekwa nyumbani kwake Usariver kwaajili ya kutoa heshima za mwisho.

 

Mwili wa Dr.Elly Macha ulivyopokelewa uwanja wa ndege wa Dar es saalam Leo.

Waombolezaji walivyojipanga kuupokea Mwili wa

Dr.Elly Macha.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu