Pembe za Faru Ruksa kuuzwa Afrika Serikali yaruhusu

In Kimataifa

Wakati Tanzania pamoja na nchi za Afrika Mashariki zikipambana na biashara ya pembe za faru, Mahakama ya katiba ya Afrika kusini imelipinga jaribio la serikali la kutaka kuweka marufuku kwa biashara ya pembe za faru katika matumizi ya ndani.

Matokeo yake ni kwamba pembe hizo za faru zinaweza kuuzwa ndani ya nchi huku marufuku katika biashara hiyo kimataifa ikiwa bado inaendelea.

Watunzaji wa wanyama pori hao wamedai kuwa, kuruhusu biashara hiyo kuendelea kufanyika kihalali kutaweza kupunguza idadi ya faru wanaouwawa kutokana na kwamba pembe za faru zinaweza kukatwa na kuacha wanyama hao hai.

Hata hivyo wahifadhi wa wanyama pori hawakubaliani na hatua hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu