Rais Magufuli amtaka Waziri wa Nishati na Madini kuachia ngazi.

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini Prof.Sospeter Muhongo, ajithamini na achie ngazi kwa kushindwa kusimamia wizara yake ya Nishati na Madini

Pia Rais Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa mamlaka ya TMAA pamoja na kuivunja bodi hiyo na kutaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwachunguza wafanyakazi wa wizara ya Nishati na Madini kuangalia kama wanahusika katika kuwafumbia macho katika usafirishwaji wa mchanga huo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu