Rais Magufuli amtaka Waziri wa Nishati na Madini kuachia ngazi.

In Kitaifa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini Prof.Sospeter Muhongo, ajithamini na achie ngazi kwa kushindwa kusimamia wizara yake ya Nishati na Madini

Pia Rais Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa mamlaka ya TMAA pamoja na kuivunja bodi hiyo na kutaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwachunguza wafanyakazi wa wizara ya Nishati na Madini kuangalia kama wanahusika katika kuwafumbia macho katika usafirishwaji wa mchanga huo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu