Rais Samia azungumza na wananchi wa Iramba.

In Kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia
Suluhu Hassan,leo amehitimisha ziara yake katika mkoa wa
Singida,ambapo amezindua Mradi wa Maji Tinde kutoka Ziwa
Victoria na amepokea taarifa ya Mradi wa Umeme Vijijini REA
awamu ya tatu mzunguko wa pili, na kuzungumza na wananchi
wa Wilaya ya Iramba Eneo la Shule ya Msingi Shelui.


Kabla ya kwenda kumsikia Mhe Rais Kile alichokizungumza,
namsogeza kwako mbunge wa jimbo la Iramba ambaye ni pia ni
waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba,ambaye alipata wasaa
wa kutoa neno kwa Rais samia kwa niaba ya wananchi wa jimbo
lake.



Kwa upande wake Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akizungumza
na wananchi,ameelezea ziara yake mkoani humo ya siku tatu
nay ale yaliyofanyika katika mkoa wa Singida.


Jambo lingine ambalo Rais Dkt Samia alilolizungumza ni kuwa
serikali inaendelea na mchakato wa kuchukua hatua za haraka ili
kukabiliana na changamoto ya umeme kukatika mara kwa mara,
pia akasema serikali itaendelea kuzitatua changamoto mbali
mbali nchini baadhi akizitaja kutoka katika jimbo la Iramba.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu