RC Mwanri:Corona haina dini.

In Uncategorized

Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka viongozi
wa dini na wananchi kuomba huku wakichukua tahadhari
zinazotolewa na wataalamu wa afya ili kujikinga na maambukizi
ya virusi vya Corona.


RC Mwanri ametoa maelekezo hayo katika ibada maalum ya
kuombea mkoa na Taifa na kusema Corona haina imani
inakomba na imeleta taharuki kubwa watu wanahaha
wanapaniki dunia imekuwa kama senene wa kihaya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu