Serikali yanuia kupunguza gharama za kusafisha figo.

In Afya, Kitaifa

Serikali imesema kuwa gharama za matibabu ya kusafisha figo
ni kubwa kiasi kwamba hazibebeki,hivyo inafanya mapitio ya
kuzipunguza.


Ahadi hiyo imetolewa bungeni leo Juni 21 na Naibu Waziri wa
Afya Dk Godwin Mollel,akisema kuwa kwa sasa gharama hizo
zinafikia Shilingi laki tisa,kiasi ambacho ni kikubwa kwa watu
wa kipato cha chini.


Ametoa kauli hiyo wakati akijbu swali la nyongeza la Mbunge
wa Viti Maalumu Mariam Kisangi,ambaye ameomba gharama
hizo zipunguzwe,huku kwa wagonjwa wanaotumia bima ya afya
wapate vifurushi vya matibabu hayo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu