Serikali yaweka msisitizo MSD kununua dawa viwandani.

In Uncategorized

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema sheria ya manunuzi
ya umma haijaweka kikwazo kwa Bohari Kuu ya Dawa (MSD)
kununua dawa moja kwa moja kutoka viwandani au kwa
wazalishaji ili kushusha gharama za dawa.

Waziri Ummy amesema sheria hiyo imeweka mipaka sio tu
gharama bali itaangalia ubora,ufanisi na upatikanaji wa dawa na
kwamba utaratibu wa kununua dawa moja kwa moja
umepunguza kwa kiasi kikubwa gharama za dawa nchini.


Ameeleza hayo jana bungeni jijini Dodoma,wakati akichangia
mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka
2022/2023 uliohitimishwa jana.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu