Spika wa Bunge Job Ndugai awaagiza Polisi Kumkamata na Kumpeleka na Pingu, Halima Mdee

In Siasa

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai Mapema leo amewataka Jeshi la Polisi kumkamata na kumfikisha Bungeni Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA Halima Mdee akiwa na Pingu.

Spika alitaja kosa linalomkabili Mbunge huyo kwamba ni Utovu wa Nidhamu uliopitiliza ambapo juzi April 4 mwak huu 2017 alitoa Lugha chafu za matusi kwa  Spika wa Bunge wakati wa uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki.

 job ndugai
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai

Kwa upande mwingine Spika amemtaka pia Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kufika mwenyewe katika kamati ya maadili, kinga na madaraka ya Bunge siku ya leo kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulidhalilisha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Image result for mbowe bungeni
Freeman Mbowe

ZAIDI SIKILIZA HAPA CHINI

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu