Spika wa Bunge Job Ndugai awaagiza Polisi Kumkamata na Kumpeleka na Pingu, Halima Mdee

In Siasa

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai Mapema leo amewataka Jeshi la Polisi kumkamata na kumfikisha Bungeni Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA Halima Mdee akiwa na Pingu.

Spika alitaja kosa linalomkabili Mbunge huyo kwamba ni Utovu wa Nidhamu uliopitiliza ambapo juzi April 4 mwak huu 2017 alitoa Lugha chafu za matusi kwa  Spika wa Bunge wakati wa uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki.

 job ndugai
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai

Kwa upande mwingine Spika amemtaka pia Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kufika mwenyewe katika kamati ya maadili, kinga na madaraka ya Bunge siku ya leo kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulidhalilisha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Image result for mbowe bungeni
Freeman Mbowe

ZAIDI SIKILIZA HAPA CHINI

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu