Tanzania Yapanda Nafasi 22 juu Kwenye Viwango vya FIFA

In Michezo

Leo April 6, Shirikisho la soka Duniani, FIFA Tanzania limetangaza Viwango vyake vya mataifa katika Soka kama jadi yake ya kila mwisho wa mwezi.

Katika Viwango vyake vya mwezi uliopita ambavyo vimetangazwa leo, Tanzania imepanda kwa nafasi 22 juu.

Tangazo la mwisho lililotolewa na FIFA, Tanzania ilikuwa nafasi ya 157 na sasa imepanda nafasi 22 na kuwa nafasi ya 135 katika Dunia.

Nafasi 22 ilizovuka Tanzania huenda zikawa zimechangiwa na Mechi mbili za Kimataifa ambapo Mwezi march Tanzania ilicheza na Burundi na kushinda kwa goli 2-1 na mechi ya pili Tanzania ikacheza na Botswana na Kushinda kwa bao 2-0.

Viwango hivi vimeifanya  Burundi kushuka Kiwango kutoka nafasi ya 139 hadi nafasi ya 141 Lakini pia Botswana Wameshuka kutoka nafasi ya 116  hadi nafasi ya 120.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu