Tanzania Yapanda Nafasi 22 juu Kwenye Viwango vya FIFA

In Michezo

Leo April 6, Shirikisho la soka Duniani, FIFA Tanzania limetangaza Viwango vyake vya mataifa katika Soka kama jadi yake ya kila mwisho wa mwezi.

Katika Viwango vyake vya mwezi uliopita ambavyo vimetangazwa leo, Tanzania imepanda kwa nafasi 22 juu.

Tangazo la mwisho lililotolewa na FIFA, Tanzania ilikuwa nafasi ya 157 na sasa imepanda nafasi 22 na kuwa nafasi ya 135 katika Dunia.

Nafasi 22 ilizovuka Tanzania huenda zikawa zimechangiwa na Mechi mbili za Kimataifa ambapo Mwezi march Tanzania ilicheza na Burundi na kushinda kwa goli 2-1 na mechi ya pili Tanzania ikacheza na Botswana na Kushinda kwa bao 2-0.

Viwango hivi vimeifanya  Burundi kushuka Kiwango kutoka nafasi ya 139 hadi nafasi ya 141 Lakini pia Botswana Wameshuka kutoka nafasi ya 116  hadi nafasi ya 120.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu