Tanzania Yapanda Nafasi 22 juu Kwenye Viwango vya FIFA

In Michezo

Leo April 6, Shirikisho la soka Duniani, FIFA Tanzania limetangaza Viwango vyake vya mataifa katika Soka kama jadi yake ya kila mwisho wa mwezi.

Katika Viwango vyake vya mwezi uliopita ambavyo vimetangazwa leo, Tanzania imepanda kwa nafasi 22 juu.

Tangazo la mwisho lililotolewa na FIFA, Tanzania ilikuwa nafasi ya 157 na sasa imepanda nafasi 22 na kuwa nafasi ya 135 katika Dunia.

Nafasi 22 ilizovuka Tanzania huenda zikawa zimechangiwa na Mechi mbili za Kimataifa ambapo Mwezi march Tanzania ilicheza na Burundi na kushinda kwa goli 2-1 na mechi ya pili Tanzania ikacheza na Botswana na Kushinda kwa bao 2-0.

Viwango hivi vimeifanya  Burundi kushuka Kiwango kutoka nafasi ya 139 hadi nafasi ya 141 Lakini pia Botswana Wameshuka kutoka nafasi ya 116  hadi nafasi ya 120.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu