Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) yaanzisha huduma mpya ya uchunguzi wa wajawazito ya wagonjwa wa Moyo kwa watoto.

In Kitaifa

Tasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeanzisha huduma mpya ya uchunguzi kwa wajawazito ya magonjwa ya moyo kwa watoto, ambayo itasaidia kuokoa vifo vya watoto 120 hadi 240 wanaopoteza maisha kila mwaka.

Huduma hiyo ambayo ni ya kwanza kufanyika nchini kwa nchi za Afrika Mashariki, pia itawezesha watoto zaidi ya elfu 12 hadi elfu 13 wanaozaliwa kwa mwaka wakiwa na matatizo hayo, kupata matibabu mapema.

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto Dk Naiz Majani amesema kuwa, kwa wastani mtoto mmoja kati ya 100 wanaozaliwa huwa na tatizo hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu