Tetesi za soka Ulaya.

In Kimataifa, Michezo


Chelsea wamemuweka mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa
Leicester Ben Chilwell, 23, katika mpango wao wa uhamisho
lakini inaweza kuwagharimu mpaka kiasi cha pauni milioni 85
kumnasa mchezaji huyo. (Athletic)
Kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane amezungumza na
wakala wa kiungo wa kati wa Manchester United Paul Pogba,

27, akisema kuwa bado angependelea kumsajili mchezaji huyo.
(Le 10 Sport-in French)
Manchester United wamebainisha kuwa winga wa Velez
Sarsfield Thiago Almada,19, anawezekana akawa sehemu ya
mpango wao wa uhamisho mbadala wa winga wa Borussia
Dortmund Jadon Sancho, 20. (Manchester Evening News)
Inter Milan watamsajili mshambuliaji wa Arsenal Alexandre
Lacazette,29, endapo mshambuliaji wa Argentina Lautaro
Martinez,22, atajiunga na Barcelona. (Mundo Deportivo)
Barcelona ina mpango wa kumsaini tena beki wa kati wa
Kihispania Eric Garcia,19, kutoka Manchester City. (ESPN)

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu