TFF watoa ratiba mechi za kirafiki za Taifa Stars.

In Kitaifa, Michezo

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Leo machi 21,
wamezungumza na waandishi wa habari jijini DSM , katika
kuelekea michezo ya kirafiki ya Taifa Stars, ambapo mashabiki
na watanzania wote kwa ujumla wakiwemo waandishi wa
habari, wameombwa kuhudhuria kwa wingi katika michezo
hiyo.


Hayo yamebainishwa na Clifford Omary Ndimbo ambae ni
Afisa Habari TFF sambamba na michezo ya kifariki Ndimbo
ametanabaisha na viingilio.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu