TFF watoa ratiba mechi za kirafiki za Taifa Stars.

In Kitaifa, Michezo

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, Leo machi 21,
wamezungumza na waandishi wa habari jijini DSM , katika
kuelekea michezo ya kirafiki ya Taifa Stars, ambapo mashabiki
na watanzania wote kwa ujumla wakiwemo waandishi wa
habari, wameombwa kuhudhuria kwa wingi katika michezo
hiyo.


Hayo yamebainishwa na Clifford Omary Ndimbo ambae ni
Afisa Habari TFF sambamba na michezo ya kifariki Ndimbo
ametanabaisha na viingilio.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu