Uchaguzi wa Kenya 2022.

In Kimataifa, Siasa

Naibu wa rais nchini Kenya amesema kwamba Wakenya watajiamulia kuhusu mgogoro wa kisiasa kati yake na rais Uhuru Kenyatta.

Kwa takriban miaka minne sasa, uhusiano kati ya naibu huyo William Ruto na rais Uhuru Kenyatta umekuwa mbaya.

Bwana Ruto anamtuhumu rais Kenyatta kwa kubadilisha ajenda ya serikali baada ya kukutana na aliyekuwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga katika kile kinachoitwa Handshake.

Hivi majuzi katika mkutano wa eneo la Sagana, a Rais Uhuru Kenyatta ambaye alikuwa akikutana na watu wa jamii yake kutoka mlima Kenya alisema kwamba alimfahamisha bwana Ruto yote yaliokuwa yakiendelea kabla ya Handshake yake na Raila Odinga licha ya naibu huyo kudai kwamba hakaufahamu kilichokuwa kikiendelea.

Rais Uhuru Kenyatta ameamua kumuunga mkono mpinzani wake wa siku nyingi Raila Odinga badala ya naibu wake William Ruto katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu