Uchaguzi wa Kenya 2022.

In Kimataifa, Siasa

Naibu wa rais nchini Kenya amesema kwamba Wakenya watajiamulia kuhusu mgogoro wa kisiasa kati yake na rais Uhuru Kenyatta.

Kwa takriban miaka minne sasa, uhusiano kati ya naibu huyo William Ruto na rais Uhuru Kenyatta umekuwa mbaya.

Bwana Ruto anamtuhumu rais Kenyatta kwa kubadilisha ajenda ya serikali baada ya kukutana na aliyekuwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga katika kile kinachoitwa Handshake.

Hivi majuzi katika mkutano wa eneo la Sagana, a Rais Uhuru Kenyatta ambaye alikuwa akikutana na watu wa jamii yake kutoka mlima Kenya alisema kwamba alimfahamisha bwana Ruto yote yaliokuwa yakiendelea kabla ya Handshake yake na Raila Odinga licha ya naibu huyo kudai kwamba hakaufahamu kilichokuwa kikiendelea.

Rais Uhuru Kenyatta ameamua kumuunga mkono mpinzani wake wa siku nyingi Raila Odinga badala ya naibu wake William Ruto katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu