Wafanyakazi 51 wakujitolea wala kiapo cha utumishi nchini Tanzania.

In Kitaifa

Wafanyakazi wa wapatao 51 wa kujitolea kutoka Taasisi ya Marekani ya Peace Corps wamekula kiapo cha utumishi wa kujitolea kwa muda miaka miwili nchini Tanzania katika sekta za afya na kilimo katika wilaya ishirini zikiwemo Iringa, Mufindi, Kondoa,Mbinga na Masasi.

Katika Hotuba yake jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwaapisha Kaimu Balozi wa Marekani nchini Vincent Spera, amesema dhamira ya wafanyakazi hao kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani pamoja na kusaidia jitihada za kimaendeleo za watanzania kwenye sekta mbalimbali.

Baadhi ya wafanyakazi wa kujitolea,wameelezea matuimaini yao ya kufanya kazi kwenye maeneo ambayo watapangiwa kwa kipindi hicho cha miaka miwili huku wakiahidi kufanya kazi hiyo kwa bidii hususan kwenye maeneo ya vijijini ambayo yanakabiliwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma za afya.

Taasisi ya Peace Corps ni Serikali ya Marekani ambayo iliyoanzishwa na Rais John F. Kennedy mwaka 1961 hivi sasa ikiwa na zaidi ya wafanyakazi wa kujitolea wapatao Elfu themanini kwenye takriban nchi 60 duniani

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu