Wafanyakazi 51 wakujitolea wala kiapo cha utumishi nchini Tanzania.

In Kitaifa

Wafanyakazi wa wapatao 51 wa kujitolea kutoka Taasisi ya Marekani ya Peace Corps wamekula kiapo cha utumishi wa kujitolea kwa muda miaka miwili nchini Tanzania katika sekta za afya na kilimo katika wilaya ishirini zikiwemo Iringa, Mufindi, Kondoa,Mbinga na Masasi.

Katika Hotuba yake jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwaapisha Kaimu Balozi wa Marekani nchini Vincent Spera, amesema dhamira ya wafanyakazi hao kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani pamoja na kusaidia jitihada za kimaendeleo za watanzania kwenye sekta mbalimbali.

Baadhi ya wafanyakazi wa kujitolea,wameelezea matuimaini yao ya kufanya kazi kwenye maeneo ambayo watapangiwa kwa kipindi hicho cha miaka miwili huku wakiahidi kufanya kazi hiyo kwa bidii hususan kwenye maeneo ya vijijini ambayo yanakabiliwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma za afya.

Taasisi ya Peace Corps ni Serikali ya Marekani ambayo iliyoanzishwa na Rais John F. Kennedy mwaka 1961 hivi sasa ikiwa na zaidi ya wafanyakazi wa kujitolea wapatao Elfu themanini kwenye takriban nchi 60 duniani

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu