Wajasiriamali Wapewa Somo na Waziri Amina Salum Ali

In Tekinolojia

Waziri wa Biashara na Viwanda wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Bi. Amina Salum Ali amewataka wajasiriamali nchini kutumia teknolojia ya kisasa kuzalisha bidhaa bora zenye viwango ambazo zitakidhi soko la ushindani.

Akizungumza kwenye kongamano la KCB JIAJIRI lililoshirikisha wajasiriamali zaidi ya elfu moja jijini DSM, Waziri Amina amesisitiza kwamba matumizi ya teknolojia katika kuzalisha bidhaa kuna mhakikishia mlaji usalama anapotumia bidhaa husika.

Aidha ametaka watanzania kujenga utamaduni wa kutumia bidhaa za ndani, akitolea mfano wa mataifa mengine yaliyozindua kampeni ya nchi zao kwanza, na kusema hata kwa hapa nchini inawezekana kuifanya Tanzania kwanza, kabla ya kununua bidhaa kutoka nchi nyingine.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Tanzania, Marekani zasaini makubaliano ya Dola Bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya

Serikali za Tanzania na Serikali ya Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya afya ya

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu