Wakuu wa biashara wa Korea Kusini wanasema, Uchina imeiuzia Korea Kaskazini magari, televisheni, na simu za mkononi nyingi zaidi mwaka jana, ikionyesha kuwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa haivikuathiri mahitaji ya Korea Kaskazini kwa bidhaa hizo.

In Kimataifa

Wakuu wa biashara wa Korea Kusini wanasema, Uchina imeiuzia Korea Kaskazini magari, televisheni, na simu za mkononi nyingi zaidi mwaka jana, ikionyesha kuwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa haivikuathiri mahitaji ya Korea Kaskazini kwa bidhaa hizo.

Data za Korea Kusini, zinaonyesha kuwa mauzo ya televisheni kutoka Uchina kwa Korea Kaskazini, yameongezeka zaidi ya asilimia mia moja katika mwaka mmoja, baada ya Korea Kaskazini kuanzisha utangazaji wa kidijitali.

Na mauzo ya simu pia kutoka Uchina, katika miezi mitatu ya awali mwaka huu, yalizidi dola milioni 25 zaidi ya mara dufu kushinda kipindi kama hicho mwaka jana.

Uchina imeacha kununua makaa kutoka Korea Kaskazini, kufuatana na vikwazo vya Umoja wa Mataifa, lakini inaendelea kusaidia uchumi wa huko kukua taratibu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu