Wanamgambo 15 Wa Al Shabaab Wauawa na Wakenya

In Kimataifa

KENYA: Wanajeshi wa KDF wamewauwa wanamgambo 15 wa Al shabaab usiku wa kuamakia jana wakati walipovamia kambi yao ya Katamaa umbali wa kilomita 100 kutoka mpaka wa Kenya na Somalia katika mji wa Elwark.

Akiongea na waandishi wa Habari, msemaji wa jeshi la KDF kanali Joseph Owuoth ameelezea kuwa wanajeshi  walifanikiwa kuvamia  na kuharibu kambi iliyokuwa na magaidi hao kwa kutumia mizinga waliyo kuwa nayo.

Aidha joseph amewahakikishia wakenya kuwa  serikali itaendelea kushirikiana na jeshi la Somalia ili  kupambana na magaidi huku akisema tayari hali ya kawaida imerudi katika miji kaadha nchini Somalia ikiwemo mji wa kismayu.

Inaaminika kuwa baadhi ya wanamgambo walifanikiwa kutoroka wakiwa na majeraha huku wanajeshi wa KDF wakiwa wapo salama na hakuna anaye uguza jeraha lolote.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu