Wanaomiliki silaha kinyume na sheria zimebaki siku 19 tu.

In Kitaifa

Jeshi la Polisi katika mkoa wa Simiyu,limetoa wito kwa wale
wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria,kuhakikisha kuwa
wanazisalimia silaha hizo ndani ya muda waliopewa zikiwa
zimesali siku 19 tu.


Wito huo umetolewa na kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu
ACP Edith Swebe alipokuwa akizungumza na wanahabari na
kueleza kuwa,baada ya kipindi hicho kumalizika takayepatikana
na silaha kinyume cha sheria hatua kali zitachukuliwa dhidi
yake.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu