Watu takribani 700 wauawa Nchini Ethiopia.

In Kimataifa

Tume ya haki za binadamu nchini Ethiopia imesema kuwa watu takribani 700 wameuawa mnamo miezi 16 iliyopita kutokana na ghasia zilizoibuka nchini humo.
Uchunguzi wa tume hiyo umebainisha kuwa wengi wao waliuawa wakati wa maandamano, pale polisi walipotumia nguvu kuzima vuguvugu la upinzani lililoshamiri katika maeneo ya vijijini mwaka mmoja uliopita.
Watu wa jamii ya Oromo waliandamana katika jimbo lao na pia katika mji mkuu, Addis Ababa, wakilalamikia kutengwa katika shughuli za kisiasa na za kiuchumi. Sheria ya hali ya hatari ya miezi sita ilitangazwa mwezi Oktoba nchini Ethiopia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu