Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

In Kitaifa

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu na kutowaruhusu wanafunzi kushiriki kwenye sherehe za usiku lakini pia kukenea utoro katika baadhi ya shule zinazopatikana ndani ya kata hiyo.

Hayo ameyaeleza akiwa katika ziara zake za kupitia na kukagua hali ya taaluma katika kata hiyo na kugundua kuwepo kwa utoro na wazazi kutosimamia suala la elimu kwa watoto wao hali inayoweza kupelekea kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi.

Ziara hiyo inalenga kutatua changamoto zilizopo katika suala la elimu kata ya Itagano ilyopo Tarafa ya Sisimba na kuzungumza na watumishi waliopo katika kata hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu