Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

In Kitaifa

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu na kutowaruhusu wanafunzi kushiriki kwenye sherehe za usiku lakini pia kukenea utoro katika baadhi ya shule zinazopatikana ndani ya kata hiyo.

Hayo ameyaeleza akiwa katika ziara zake za kupitia na kukagua hali ya taaluma katika kata hiyo na kugundua kuwepo kwa utoro na wazazi kutosimamia suala la elimu kwa watoto wao hali inayoweza kupelekea kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi.

Ziara hiyo inalenga kutatua changamoto zilizopo katika suala la elimu kata ya Itagano ilyopo Tarafa ya Sisimba na kuzungumza na watumishi waliopo katika kata hiyo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu