Waziri Ummy Mwalimu amteua Lwezimula kuwa Mkurugenzi wa MOI

In Afya

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, amemteua Dk.Respicious Lwezimula kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (MOI).

Nafasi hiyo ilikuwa inakaimiwa na Dk. Othman Kiloloma.

Dk Lwezimula anachukua nafasi hiyo iliyokuwa wazi tangu mwaka 2014, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MOI kustaafu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Wizara hiyo, Nsachris Mwamwaja, uteuzi huo umeanza jana.

Kabla ya uteuzi huo Dk Lwezimula alikuwa Daktari Bingwa katika Taasisi hiyo ya Mifupa ya MOI.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu