Waziri Ummy Mwalimu amteua Lwezimula kuwa Mkurugenzi wa MOI

In Afya

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, amemteua Dk.Respicious Lwezimula kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (MOI).

Nafasi hiyo ilikuwa inakaimiwa na Dk. Othman Kiloloma.

Dk Lwezimula anachukua nafasi hiyo iliyokuwa wazi tangu mwaka 2014, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MOI kustaafu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Wizara hiyo, Nsachris Mwamwaja, uteuzi huo umeanza jana.

Kabla ya uteuzi huo Dk Lwezimula alikuwa Daktari Bingwa katika Taasisi hiyo ya Mifupa ya MOI.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu