Ziara ya Justin Bieber yaingiza Tsh. Billion 440

In Burudani

Ziara ya Justin Bieber “PURPOSE WORLD TOUR”  iliyofanyika mwaka jana na mwaka huu imeingiza dola milioni 200 ambazo ni sawa na Fedha za Kitanzania zaidi ya 440,000,000,000.

Ziara hiyo ilianza March 2016. Hadi sasa zaidi ya tiketi milioni 2.2 zimeuzwa kwaajili ya show katika maeneo 122 duniani.

Ziara hiyo ilianza March 9, 2016 huko Seattle na awamu ya kwanza ilimalizika Nov. 29. Ziara hiyo ilianza tena Feb. 15, 2017 huko Monterrey, Mexico.

Hadi mwishoni mwa 2016, Bieber alikamata nafasi ya 5 ya orodha ya Billboard ya ziara 25 zilizoingia fedha nyingi zaidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu