Ziara ya Justin Bieber yaingiza Tsh. Billion 440

In Burudani

Ziara ya Justin Bieber “PURPOSE WORLD TOUR”  iliyofanyika mwaka jana na mwaka huu imeingiza dola milioni 200 ambazo ni sawa na Fedha za Kitanzania zaidi ya 440,000,000,000.

Ziara hiyo ilianza March 2016. Hadi sasa zaidi ya tiketi milioni 2.2 zimeuzwa kwaajili ya show katika maeneo 122 duniani.

Ziara hiyo ilianza March 9, 2016 huko Seattle na awamu ya kwanza ilimalizika Nov. 29. Ziara hiyo ilianza tena Feb. 15, 2017 huko Monterrey, Mexico.

Hadi mwishoni mwa 2016, Bieber alikamata nafasi ya 5 ya orodha ya Billboard ya ziara 25 zilizoingia fedha nyingi zaidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu