Adam Malima afutiwa kesi,Kaka na Dereva wake waongea.

In Kitaifa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imemuachia huru Naibu Waziri wa zamani Adam Malima kutokana na kesi ya kushambulia iliyokuwa ikimkabili.

Adam Malima ambae juzi ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa, yeye na Dereva wake ndio walikua wanakabiliwa na kesi hiyo ambapo Mkurugenzi wa mashtaka amesema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.

Antena imemnasa dereva wake Ramadha Mohamed pamoja na kaka yake Malima, mara baada ya kesi hiyo kufutwana walikuwa na haya ya kuongea.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu