Mapigano kati ya makundi pinzani ya Libya mashariki mwa Tripoli yameingia siku ya pili jana

In Kimataifa
Mapigano kati ya makundi pinzani ya Libya mashariki mwa Tripoli yameingia siku ya pili jana, na kuwazuia wakaazi kurejea majumbani kwao.
Mapigano yalizuka Jumapili wakati makundi yenye silaha yanayoipinga serikali inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa mjini Tripoli yalijaribu kuingia katika mji huo mkuu na wakakabiliwa na makundi hasimu ambayo yanaegemea upande wa serikali hiyo.
Wizara ya afya ya Libya imethibitisha kuwa karibu watu wanne wameuawa na wengine 21 wamejeruhiwa katika mapigano hayo.
 Serikali ya Umoja wa Kitaifa imeshindwa kuweka utulivu tangu ilipowasili mjini Tripoli Machi mwaka jana. Serikali hiyo inapingwa na makundi ambayo yanadhibiti mashariki mwa Libya, ambako kamanda wa kijeshi Khalifa Haftar amekuwa akiimarisha nafasi yake kwa kuwateua mameya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu