Salomon Kalou ashinda tuzo kubwa Ujerumani

In Michezo

Mwanasoka wa Ivory Coast, Salomon Kalou anayeichezea pia Club ya Hertha Berliner katika ligi kuu ya Nchini Ufaransa  ametwaa tuzo ya Duku Film.

Kwa taarifa aliyoiweka kwenye Account yake ya Mtandao wa Instagram kupitia video aliyoipost, Kalou ameshinda tuzo hiyo usiku wa Jumatatuya April 3 mwaka 2017 kwenye tamasha la Berlin International Film Festival.

Kalou akipokea Tuzo hiyo

Kwenye Video hiyo Kalou ameambatanisha na Maneno haya “Without Struggle There Is No Progress #SKLEC.”

HII HAPA NDIYO VIDEO YENYEWE

“Without Struggle There Is No Progress” #SKLEC

A post shared by Salomon Kalou (@salomonkalou) on

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu