Borussia Dortmund Wapata ajali na Basi lao

In Michezo

Klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani jana Jumanne ilipata majonzi baada ya kutokea kwa mlipuko katika basi lao lililokuwa linasafirisha wachezaji wake kuelekea uwanjani.

Dortmund ilitakiwa kucheza na As Monaco ya Ufaransa katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya (Uefa). Mechi hiyo ilighairishwa kutokana na mlipuko huo uliosababisha mchezaji mmoja wa timu hiyo Marc Bartra kuumia.

Hata hivyo mchezaji huyo ameshafanyiwa upasuaji wa mkono wake usiku wa April 11 baada ya kuvunjika mfupa kutokana na tukio hilo

Kwa mujibu wa mtandao wa BBC News umeripoti kuwa shambulizi hilo linahusishwa na kikundi cha Islamic State kutoka Syria. na mchezaji Marc Bartra ndio mchezaji pekee wa Dortmund aliyeumia katika tukio hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu