Borussia Dortmund Wapata ajali na Basi lao

In Michezo

Klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani jana Jumanne ilipata majonzi baada ya kutokea kwa mlipuko katika basi lao lililokuwa linasafirisha wachezaji wake kuelekea uwanjani.

Dortmund ilitakiwa kucheza na As Monaco ya Ufaransa katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya (Uefa). Mechi hiyo ilighairishwa kutokana na mlipuko huo uliosababisha mchezaji mmoja wa timu hiyo Marc Bartra kuumia.

Hata hivyo mchezaji huyo ameshafanyiwa upasuaji wa mkono wake usiku wa April 11 baada ya kuvunjika mfupa kutokana na tukio hilo

Kwa mujibu wa mtandao wa BBC News umeripoti kuwa shambulizi hilo linahusishwa na kikundi cha Islamic State kutoka Syria. na mchezaji Marc Bartra ndio mchezaji pekee wa Dortmund aliyeumia katika tukio hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu