Mke wa Trump awanyoosha Gazeti la Daily Maily

In Mitindo

Hakika Mshahara wa Dhambi ni Mauti kama si Mauti basi Kilema.

Mke wa Rais wa Marekani Donald Trump, Bi Melania Trump, ameshinda kesi ya Kuchafuliwa jina na Gazeti Maarufu nchini Uingereza Liitwalo The Daily Mail.

Katika kesi ya msingi aliyokuwa ameifungua mwana mama huyo aliyoifungua September mwaka jana, alidai kwamba Gazeti hilo limemwandika habari ya uongo kuhusu kazi zake za Ulimwende na akadai Limuombe msamaha na kumlipa Fidia ya Dollar za Kimarekani milioni 150.

Hata hivyo baada ya Kesi hiyo kuunguruma iliamua alipwe Dollar Million 2.9.

Hatimaye gazeti hilo limemuomba mama huyo Msamaha na Kuahidi Kumlipa Fidia hiyo

“We accept that these allegations about Mrs. Trump are not true and we retract and withdraw them. We apologize to Mrs. Trump for any distress that our publication caused her,”  Daily Mail na Mail Online Wameyazungumza hayo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu