Mke wa Trump awanyoosha Gazeti la Daily Maily

In Mitindo

Hakika Mshahara wa Dhambi ni Mauti kama si Mauti basi Kilema.

Mke wa Rais wa Marekani Donald Trump, Bi Melania Trump, ameshinda kesi ya Kuchafuliwa jina na Gazeti Maarufu nchini Uingereza Liitwalo The Daily Mail.

Katika kesi ya msingi aliyokuwa ameifungua mwana mama huyo aliyoifungua September mwaka jana, alidai kwamba Gazeti hilo limemwandika habari ya uongo kuhusu kazi zake za Ulimwende na akadai Limuombe msamaha na kumlipa Fidia ya Dollar za Kimarekani milioni 150.

Hata hivyo baada ya Kesi hiyo kuunguruma iliamua alipwe Dollar Million 2.9.

Hatimaye gazeti hilo limemuomba mama huyo Msamaha na Kuahidi Kumlipa Fidia hiyo

“We accept that these allegations about Mrs. Trump are not true and we retract and withdraw them. We apologize to Mrs. Trump for any distress that our publication caused her,”  Daily Mail na Mail Online Wameyazungumza hayo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu