Mke wa Trump awanyoosha Gazeti la Daily Maily

In Mitindo

Hakika Mshahara wa Dhambi ni Mauti kama si Mauti basi Kilema.

Mke wa Rais wa Marekani Donald Trump, Bi Melania Trump, ameshinda kesi ya Kuchafuliwa jina na Gazeti Maarufu nchini Uingereza Liitwalo The Daily Mail.

Katika kesi ya msingi aliyokuwa ameifungua mwana mama huyo aliyoifungua September mwaka jana, alidai kwamba Gazeti hilo limemwandika habari ya uongo kuhusu kazi zake za Ulimwende na akadai Limuombe msamaha na kumlipa Fidia ya Dollar za Kimarekani milioni 150.

Hata hivyo baada ya Kesi hiyo kuunguruma iliamua alipwe Dollar Million 2.9.

Hatimaye gazeti hilo limemuomba mama huyo Msamaha na Kuahidi Kumlipa Fidia hiyo

“We accept that these allegations about Mrs. Trump are not true and we retract and withdraw them. We apologize to Mrs. Trump for any distress that our publication caused her,”  Daily Mail na Mail Online Wameyazungumza hayo

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu