Chadema jimbo la kibamba ya watetea wamachinga.

In Kitaifa, Siasa

Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema kupitia kwa
Mwenyekiti wa chama hicho katika jimbo la kibamba Ndugu
Ernest Mgawe leo wamezungumza na wanahabri na kuongelea
mambo mbali mbali.


Moja ya suala walilolizungumzia ni kuhusiana na miundombinu
mibovu ya barabara katika jimbo hilo,pamoja na Machinga
kuhamishwa katika maeneo yao kwa kuvunjiwa vibanda vyao
usiku.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu