Chindo Man azungumzia kifo cha mwanae aliyefariki kwa ajali ya Moto huko Marekani,pia amesema anatarajia kufanya collabo yake mpya na Snoop Dogg ambapo taratibu mbali mbali anaendelea kuzikamilisha.
Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto