Kampuni ya Usafiri wa Mabasi yaendayo Haraka (Udart) imekiri kufanya makosa.

In Kitaifa

Kampuni ya Usafiri wa Mabasi yaendayo Haraka (Udart) imekiri kufanya makosa kwa kutofikisha taarifa vituoni kwa wateja wanaotumia usafiri huo kuhusu matatizo yanayotokea kwenye mabasi hayo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Udart, Deus Bugaywa amesema hayo baada ya mabasi hayo kugongana eneo la Shekilango na kusababisha barabara kutopitika.

Amesema kufuatia ajali ilitakiwa abiria wapatiwe taarifa wakiwa kwenye vituo vyao, lakini haikuwa hivyo na badala yake wakawa wanashindwa kujua nini kinaendelea.

Deus amesema kilichojitokeza ni tatizo la kibinadamu, hivyo amewataka watu wawe waelewa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu