KANYE WEST, FUTURE NA KENDRICK LAMAR KUPAMBA TAMASHA LA ROLLING LOUD 2022

In Burudani, Kimataifa

Wakali wa rap Kanye West, Future na Kendrick Lamar Wataongoza kwenye tamasha la Rolling Loud ndani ya ukumbi wa Hard Rock, Miami Gardens julai mwaka huu.

Tamasha hilo la muziki linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki litafanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 22 hadi 24 Julai, pia litashambuliwa na wakali wengine kama Kodak Black, Lil Baby, Playboi, Lil Uzi Vert, Gunna, Gucci Mane, 2 Chainz, Lil Durk na wengine wengi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu