Muhimbili wapewa miezi 2 kuboresha utoaji huduma.

In Afya, Kitaifa

Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepewa miezi
miwili kujitathimini uwezo wao wa usimamizi wa kutoa huduma
na kuboresha huduma kwa wateja.


Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin
Mollel alipokuwa akizungumza na Viongozi wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya wakijadili kuhusu uboreshaji wa
huduma za afya nchini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

NIFFER NA CHAVALA WAACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewaachia huru leo mchana vijana Jennifer Jovin (26), maarufu kama

Read More...

Trump kukutana na viongozi wa Rwanda na DR Kongo Alhamisi

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na viongozi wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo siku ya Alhamisi

Read More...

SERIKALI YAAGIZWA KUFUTWA KWA LESENI 73.

Serikali kupitia Wizara ya Madini imeielekeza Tume ya Madini kufuta jumla ya leseni 73ambazo maeneo yake hayajaendelezwa. Hayo yameelezwa leo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu