Muswada wa bima ya afya kwa wote watua Bungeni.

In Kitaifa

Baada ya kukwama mara 2 kujadiliwa katika Bunge Muswada
wa sheria ya bima ya afya kwa wote,leo umesomwa kwa mara
ya pili Bungeni na Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu.
Akisoma Muswada huo Waziri Ummy,ameainisha marekebisho
ambayo wabunge waliyahitaji,ikiwemo kutokuwepo kwa chanzo
endelevu cha fedha kutekeleza mpango huo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu