Mwanri awataka Machiunga kuchukua vitambulisho.

In Uncategorized


Baada mkoa wa Tabora kufanya vizuri na kushika nafasi ya
kwanza kitaifa kwa 2019 katika zoezi la kugawa vitamburisho
vya wafanyabiashara wadogo,mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey
Mwanri ameanza ziara ya kuhamasisha kundi hilo kuchukua
vitamburisho hivyo.


Akiwa wilayani Nzega RC Mwanri amewataka wafanyabiashara
wadogo ambao hawana vitambulisho hivyo kuchangamkia zoezi
hilo ili kuepuka usumbufu hapo baadae.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MABELE AHITIMISHA MAFUNZO YA JKT KWA VIJANA

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, leo Septemba 18, 2026, amehitimisha rasmi mafunzo ya

Read More...

Safari ya Messi na Lamine Yamal Iliyotikisa Historia ya Soka

Soka lina uwezo wa kuandika simulizi ambazo hata waandishi wa riwaya hawawezi kuzibuni. Fainali ya Kombe la Dunia kati

Read More...

Serikali ya Marekani yaichangia Tanzania bilioni 2.63

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh. biliooni 2.63 ili kusaidia

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu