Mwigamba na wenzake wajiunga na CCM.

In Kitaifa, Siasa

Baadhi viongozi waliokuwa katika Chama cha ACT-Wazalendo wakiongozwa na Samson Mwigamba, leo wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM.

Uamuzi huo umetolewa leo na aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi Taifa ya Chama hicho Samson Mwigamba, ambaye alijihuzulu hivi karibuni na kubaki kuwa mwanachama wa kawaida.

Mwigamba amesema wameamua kuchukua uamuzi huo, kwa madai ya kuwa ameona kuna mambo ndani ya chama hicho hayaendi sawa.

Kama huwafahamu ni kina nani wengine na vyeo walivyokuwa navyo waliojivua uanachama wa ACT-Wazalendo na kujiunga CCM, hawa hapa wanatajwa na Samson Mwigamba.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA BARABARA YA SOMANGA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asubuhi ya leo  Aprili 16, 2025 amewasili eneo la Somanga kukagua Miundombinu ya barabara kuu

Read More...

HATUTAWAACHIA CCM NAFASI TUTASHIRIKI UCHAGUZI MKUU – ACT WAZALENDO

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesema chama hicho kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka

Read More...

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamohanga Afariki Dunia 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Gissima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika ajali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu